133 views 0 secs 0 comments

DIAMOND PLATINUM KUMTAMBULISHA MSHINDI WA MILION 20 KUTOKA TABORA

In BIASHARA, MICHEZO
June 09, 2024

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA

Wasafi Bet Wamtambulisha mshindi wa milioni 20 ambaye anayetokea Tabora Saidi Daudi pia amesindikiwa na washindi watano walioweza kujishindia simu janja ya SMART PHONE

Saidi amejishindia pesa hizo Kwa bet ambayo aliyoweza kucheza na kubashiri na kuingia Katika droo hiyo na baadhi Yao walishinda shilingi 10000 Kwa kila siku Kwa washiriki 200 na washiriki 10 Kwa kila wiki walishinda zawadi ya shilingi laki 2



Aidha Wasafi bet pia wametambulisha promosheni mbalimbali ambazo wamekuwa nazo lakini kubwa Zaidi ni promosheni Mpya ya “MAOKOTO YA EPL”

Pia Diamond platinum ameitambulisha kampeni mpya ya jipate na EURO au ZAWADI ZA WASAFI NA EURO ambayo watakuwa wanatoa smart Tv, pikipiki,na Simu Kwa kila wiki na pia zawadi zitakuwa zinabadilika Kwa kila wiki

/ Published posts: 1214

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram