156 views 38 secs 0 comments

WEMA SEPETU ALADONGE NONO KAMPUNI YA HELABET

In BURUDANI
March 15, 2024

Madina Mohammed DAR ES SALAAM

Kampuni ya mtandao ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania HELABET na Mwanamitindo na muigizaji Wema Sepetu wameingia makubaliano rasmi ya kufanya kazi Kwa pamoja Kwa kipindi Cha miezi 6 Kwa kuwa balozi wao

Wema sepetu Amesema kuwa amekuwa wanafamilia Katika namba moja ya kampuni ya HELABET ya online

“Mimi huwa siendagi Kwa kampuni kampuni huwa naendaga the Best Kwa hiyo nilivyoaprochiwa na helabet wakaniomba niwe Katika familia Yao,nikaangalia kwanza nikasema this is dizevid to be product ambayo itatangazwa na mimi kama wema sepetu”,


Msanii huyo wa filamu nchini Wema Isack Sepetu amepata ubalozi kutoka kwenye kampuni ya kubashiri ya hela bet ambayo inaendesha mchezo wa kubashiri mtandaoni

Akizungumza mapema leoย  Machi,15 2024,Wema amesema kuwa amefurahi kuwa mwanafamilia mpya kutoka kwenye namba moja ya kampuni ya kubashiri ya michezo.


โ€œMimi huwaga sifanyi  na kampuni ambayo haiko vizuri lakini kwa kuona hii kampuni ya hela bet inafanya vizuri kwa upande wa michezo mtandaoni nikaona nishirikiane nao ili tuweze kufanya kazi.


โ€œNina waahidi kufanya kazi bega kwa bega kwa kampuni hii ili kuhakikisha inamfikia kila Mtanzania na pia mimi  nitaanza kubashiri na kwa upande wa timu mimi ni shabiki wa Yanga,โ€amesema Wema

/ Published posts: 1215

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram