317 views 19 secs 0 comments

RAIS SAMIA AWASILI.MTWARA KWA KISHINDO

In KITAIFA
September 14, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi pamoja na Wananchi wa Mtwara mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi mkoani humo tarehe 14 Septemba, 2023.
/ Published posts: 1214

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram