201 views 49 secs 0 comments

WAZIRI ULEGA:BBT IMETENGA MILIONI 20 KUONGEZA VITUO KATIKA WIZARA YA UVUVI NA MIFUGO

In KITAIFA
September 06, 2023

BBT imetenga milioni 20 Kwa ajili ya kuhakikisha kuongeza vituo Katika wizara ya uvuvi na mifugo Kwa kushirikiana na mikoa ya hapa Nchini

Katika vituo hivyo vituo nane ndo vilitengwa ambavyo vipo Chini ya wizara Moja Kwa Moja na BBT inaenda mpka mikoani Kwa kushirikiana na wakuu wa mikoa

Katika mikoa hiyo ni Tabora,Morogoro,ambayo teali imashaingia Katika mchakato huo wa kuhakikisha kutengeneza miundombinu Kwa pamoja itakayowafundisha Vijana

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo jumatano 06 September 2023 Waziri wa uvuvi na mifugo Abdallah Ulega amesema kampeni hiyo ipo Katika matarajio na inaitajika kufanyika mwezi 9 na 10

“Utayali wa serikali kwenye kuhakikisha kwamba jambo hili la upatikanaji wa lishe ya huwakika Ili ng’ombe wasiweze kufa kutokana na ukame”

Wazalishaji wa kuku mathalani hupata wakati mgumu sana haswa Katika nyakati za kiangazi kwa sababu wa upatikanaji wa mahindi huwa yanapanda Bei sana huwa kunaongeza gharama za Uzalishaji”Amesema Ulega

Serikali tumeonyesha ushirikiano mkubwa tayali na sisi wasaidizi wa Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan tulivyokuwa tayali kuhakikisha kwenye changamoto ambazo zinakabili sekta ya zetu za Uzalishaji Chini ya makundi ya Vijana na wakina mama

Aidha Ulega amesema upande wa uchanjaji wa chanjo Kwa wale wanaofanya Ufugaji wa kibiashara kuku,mbuzi,ngo’mbe uchanjaji ni asilimia 100 wanayofanya na Ufugaji wa Asili ni asilimia 20 na tunahitaji kusonga mbele mpaka asilimia 50

MADINA MOHAMMED

/ Published posts: 1214

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram