73 views 58 secs 0 comments

MAUMIVU YA MAPENZI YA MUIBUA ZIPORAH

In BURUDANI
June 15, 2023

Ni kweli kwamba, mapenzi yanatesa kuliko kitu chochote katika uso wa dunia hii. Ni mapenzi hayohayo ambayo yana nguvu na maumivu makali kuliko maumivu ya kitu chochote unachokijua chenye kusababisha maumivu.

Pia ni kweli wapo watu wengi wameumizwa na kuteswa na mapenzi. Wengine wanaendelea kuteseka na kuumia kila siku. Wengine wanatamani kuyaepuka ingawa hawawezi zaidi ya kupumzika kwa muda. Wapo wanaotamani kuyakimbia ila hayakimbiliki. Wengine wanatamani kujiua ila roho wa Mungu anawashindia.

Kisa cha msanii mrembo Zaidi aliyeamua kuanika siri ya mapenzi inayomtesa.
โ€œNilijitoa kiakili, Nikatoa mpaka mwili lakini badoโ€ Zipporah akisimulia namna alivyojitoa juu ya mpenzi ambaye hakuona thamani ya penzi lake.

Usimchukie aliyekuumiza na kukutesa katika mapenzi, amini ni sehemu ya maisha yako, ulipaswa kuyapita.

/ Published posts: 1214

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram