80 views 54 secs 0 comments

MAJADILIANO YA KINA: WAZIRI MKUU BUNGENI

In KITAIFA
May 30, 2023

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, alishiriki vikao vya Bunge jijini Dodoma na kufanya mazungumzo na mawaziri kadhaa. Miongoni mwa mazungumzo hayo, Waziri Mkuu alikutana na Waziri wa Mambo ya Nje ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Stagomena Tax, ambaye ametoa hotuba na bajeti ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Waziri Mkuu pia alikutana na Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, ambapo walijadili masuala ya sheria na utawala bora.

Aidha, Waziri Mkuu alikutana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angelina Mabula.

Majadiliano yote yalilenga kuimarisha utendaji kazi wa serikali na kuleta maendeleo endelevu kwa Taifa la Tanzania na kuboresha maisha ya wananchi.

/ Published posts: 1209

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram