KIKOSI CHA WANAMAJI WAKAMATA BOTI 2 ZIKISAFIRISHA MAFUTA YA KULA
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA
Jeshi la Polisi Kikosi cha Polisi Wanamaji kinaendelea na ufuatiliaji maalum kuanzia Mei hadi Juni, 2024 katika kudhibiti uhalifu ukanda wa Bahari ya Hindi.
Katika ufuatiliaji huo kikosi kazi cha Polisi Wanamaji Dar es salaam kikitumia boti za Polisi walifanikiwa kukamata majahazi mawili, MV. UKIMAINDI POA na jahazi lingine lisilokuwa na jina wala namba za usajili katika bahari ya Hindi, Dar es Salaam yakiwa na watuhumiwa wanne akiwepo Nahodha Masoud Rajabu wakiwa wamebeba mafuta ya kupikia dumu 1731 zenye ujazo wa lita 20 kila moja wakiwa na nia ya kukwepa ushuru wa forodha.
Uchunguzi wa awali wa.
NEMC YAWATAKA WACHIMBAJI WADOGO KUFANYA MATUMIZI
DKT BITEKO KAZI ZA UJENZI ZIFANYIKE
SEKTA YA BIMA YAKIWASHA SABASABA
SERIKALI KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU ZA
MKANDARASI ATAKIWA KUHARAKISHA UTEKELEZAJI WA MRADI
KIKOSI CHA WANAMAJI WAKAMATA BOTI 2 ZIKISAFIRISHA MAFUTA YA KULA
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Jeshi la Polisi Kikosi cha Polisi Wanamaji kinaendelea na ufuatiliaji maalum kuanzia Mei hadi Juni, 2024 katika kudhibiti uhalifu ukanda wa Bahari ya Hindi. Katika ufuatiliaji huo kikosi kazi cha Polisi Wanamaji Dar es salaam kikitumia boti za Polisi walifanikiwa kukamata majahazi mawili, MV. UKIMAINDI POA
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge
HIFADHI YA MAGOFU YA KILWA KISIWANI YAENDELEA KUFURIKA WATALII WA NJE
Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo
WAZIRI KAIRUKI:TUNATAKA TTB ISONGE MBELE KATIKA UTANGAZAJI UTALII
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) ameitaka Bodi ya
RC MAKONDA ABAINISHA JUMLA YA WANANCHI 6434 WAHUDUMIWA KWA SIKU 2
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA ARUSHA Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda, amebainisha kuwa tangu kuanzia kwa kambi
SERIKALI KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU ZA MITI YA ASILI ILI KUZUIA KUTOWEKA
Na Happiness Shayo Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema kuwa katika kuhakikisha kunakuwapo na
DKT BITEKO KAZI ZA UJENZI ZIFANYIKE KWA UBORA NA UZALENDO
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Heshimuni matumizi ya fedha za miradi* Wizara iwasaidie vijana kuanzisha kampuni na kuwapatia kazi ndogo
WAFANYAKAZI WOTE WA MACHINGA TUNAWATAKIA KHERI YA SIKUKUU YA CHRISTMAS,PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI TOFAUTI TOFAUTI
Heri ya sikukuu ya christimas msomaji wa wa wamachinga gazeti karibu kupitia vichwa vya habari katika magazeti ya leo ya Tanzania yalio andikwa mbele na nyuma Pia usisahau kuangalia vipindi bomba Katika YouTube yetu ya machinga
BANK YA KILIMO TADB YAWEZESHA MAFUNZO YA MIKOPO KWA WATAALAMU WA KILIMO
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Benki ya maendeleo. ya kilimo (TADB) imetoa mafunzo ya mikopo kwa wataalamu wa kilimo nchini ikiwa na lengo Mahususi la kuweza kuhudumia watu mbalimbali Katika huduma za kilimo huku
WAZIRI KAIRUKI AKUTANA NA RAIS WA BARAZA LA UTALII DUNIANI KUJADILI KUKUZA UTALII NCHINI
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki amekutana na kufanya mazungumzo na Rais ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Utalii Duniani (World Travel Tourism Council (WTTC) , Bi. Julia Simpson kwa lengo la
TIRDO NA REPOA KUANDAA KOZI YA UZALISHAJI MKAA MBADALA
TIRDO na REPOA imeandaa kozi ya mafunzo ya uzalishaji wa Mkaa Mbadala (Biomass Briquettes) ambayo ni nishati safi kwa matumizi ya majumbani, taasisi na hata viwandani. Mafunzo hayo yanalenga kuimarisha umuhimu Kwa ustawi wa uchumi na
BARAZA LA MADIWANI KIBAHA MJI YAMPA ‘TANO’ RAIS SAMIA KWA KUWAPATIA BL.8.1
Baraza la madiwani Halmashauri ya mji Kibaha limeazimia kwa pamoja kumpongeza kwa dhati serikali ya awamu ya sita Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia kiasi cha shilingi bilioni 8.1 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbali mbali
CCM: SERIKALI NA WANANCHI SHIRIKIANENI KUKOMESHA UDUMAVU IRINGA
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Mjema ameagiza serikali kushirikiana na wananchi katika kukomesha udumavu mkoani Iringa. \”Dhamira ya CCM kama ilivyolezwa kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 ibara