HABARI KUBWA

FMF YAWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUWA NGUZO YA KUTOA ELIMU KWA JAMII KUHUSU MATENDO YA KIKATILI WA KIJINSIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Taasisi ya Flaviana matata Kwa kushirikiana na kufadhiliwa chini ya Shirika la  WFT ambao ni wadau wakubwa wa kuhakikisha wanalenga jamii na Lengo kubwa ni kuweza kuwawezesha waandishi wa habari kuwaongezea ujuzi kuhusiana na mada ambazo zinawafanya wanapofanya kazi iwe.

Tangaza hapa-3
Email
Twitter
META
WhatsApp

WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.  Mbunge

KITAIFA

DK.KIMEI AWEKA REKODI YA UTENDAJI VUNJO

Na Mwandishi Wetu,Dodomaa MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei ametajwa kuwa kinara wa kuzungumzia mahitaji ya wananchi kwa kuwa miongoni mwa wabunge vinara wa kusema, kuchangia au kuhoji katika kila kikao cha bunge la