WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
EWURA YASHINDA TENA TUZO YA UHUSIANO MWEMA NA VYOMBO VYA HABARI
TANESCO YAIBUKA KINARA TUZO ZA UBORA ZA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA ZA PRST 2024
TANESCO YASHINDA TENA TUZO ZA UBORA HUDUMA KWA WATEJA ZA CICM
WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda.
Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani wawaambie wanataka nini na kama wanashindwa kuiambia CCM basi waiambie Tume.
Akizungumza Leo machi 30 2025 katika mkutano wa hadhara mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Wasira alitumia nafasi hiyo kumjibu Zitto Kabwe ambaye akiwa Lindi alisema Wasira anajua historia hivyo kwa nini anabishana na CHADEMA badala ya kuzungumza.
“Mimi niliwaambia tuzungumze Tundu Lissu akasema tutawapotezea muda, sasa mtu ana muda wake na hataki upotee wewe umlazimishe kupoteza.
EWURA YASHINDA TENA TUZO YA UHUSIANO
TANESCO YAIBUKA KINARA TUZO ZA UBORA
TANESCO YASHINDA TENA TUZO ZA UBORA
SITA WAPANDISHWA KIZIMBANI WAKITUHUMIWA KUSAFIRISHA DAWA
MATEMBEZI YA GENERATION SAMIA (GEN-S) YAVUNJA


WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda. Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani wawaambie wanataka nini na kama wanashindwa kuiambia
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

RAIS SAMIA:APOKEA TAARIFA RASMI YA TUME YA HAKI JINAI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amezitaka
WAZIRI MKUU AZINDUA KAMATI YA KITAIFA AFCON 2027
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024


EWURA YASHINDA TENA TUZO YA UHUSIANO MWEMA NA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mara ya pili mfululizo, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeshinda tena tuzo ya

WAZIRI SIMBACHAWENE AELEKEZA NAMNA BORA ZAIDI YA KUSHUGHULIKIA MASUALA YA KIUTUMISHI IKIWEMO BARUA ZA AJIRA MPYA
Na. Mwandishi Wetu- Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.

MARA WARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI YA REA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 Wamshukuru Rais Samia kwa kupunguza gharama za umeme 📌 Elimu kuhusu matumizi bora ya

WAZIRI CHANA AINADI CCM MAKAMBAKO, AMTAJA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe, Mhe. Balozi , Dkt. Pindi Chana (Mb) amekinadi Chama cha Mapinduzi huku akiwaomba wananchi kuchagua wagombea wa

BAJETI YA WAKULIMA YAPITIASHWA KWA KISHINDO KIKUBWA
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha matumizi ya ya Shilingi trilioni 1.24 kwa ajili ya Wizara ya Kilimo katika mwaka 2024/2025 kwa ajili ya utekelezaji wa mipango mbalimbali iliyoainishwa ili kuendelea kukuza Sekta ya

TRC WAZINDUA SAFARI YA DAR-MORO KUANZA SIKU YA IJUMAA
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA ***Treni ya SGR haijaja kuchukua nafasi ya ndege Wala Mabasi ****Mizigo mikubwa haitakiwi,chakula Wala Wanyama inaitaji kuwa Treni ya kimataifa Shirika la Reli Tanzania TRC limezindua Safari ya Treni

MKURUGENZI WA KAMPUNI YA GREEN HIPPO TRAVELS AZURU MAKUYUNI WILDLIFE PARK
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Astaajabishwa na wingi wa vivutio na kuahidi kuwahamasisha wageni mbalimbali kutembelea eneo hilo* Mkurugenzi wa Kampuni mashuhuri ya utalii inayofahamika kama Green Hippo Travels, Astrid Kleinveld akiwa ameambatana na rafiki yake Naomi

Serikali yasaini mkataba na shirika la marekani (USAID)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID) Balozi Samantha Power, mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
