WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
EWURA YASHINDA TENA TUZO YA UHUSIANO MWEMA NA VYOMBO VYA HABARI
TANESCO YAIBUKA KINARA TUZO ZA UBORA ZA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA ZA PRST 2024
TANESCO YASHINDA TENA TUZO ZA UBORA HUDUMA KWA WATEJA ZA CICM
WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda.
Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani wawaambie wanataka nini na kama wanashindwa kuiambia CCM basi waiambie Tume.
Akizungumza Leo machi 30 2025 katika mkutano wa hadhara mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Wasira alitumia nafasi hiyo kumjibu Zitto Kabwe ambaye akiwa Lindi alisema Wasira anajua historia hivyo kwa nini anabishana na CHADEMA badala ya kuzungumza.
“Mimi niliwaambia tuzungumze Tundu Lissu akasema tutawapotezea muda, sasa mtu ana muda wake na hataki upotee wewe umlazimishe kupoteza.
EWURA YASHINDA TENA TUZO YA UHUSIANO
TANESCO YAIBUKA KINARA TUZO ZA UBORA
TANESCO YASHINDA TENA TUZO ZA UBORA
SITA WAPANDISHWA KIZIMBANI WAKITUHUMIWA KUSAFIRISHA DAWA
MATEMBEZI YA GENERATION SAMIA (GEN-S) YAVUNJA


WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda. Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani wawaambie wanataka nini na kama wanashindwa kuiambia
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

BARABARA YA KUUNGANISHA WILAYA ZA KONGWA NA MPWAMPWA MBIONI KUWEKWA LAMI


MINGLE FC KUICHAPA TING WAYLAND KWENYE KATA YAO

Mganga aliyeipa sumu familia nzima kuchunguzwa

UKWELI HUU HAPA JUU YA KIFO CHA BABA G
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam
TOP TEN BEERS IN TANZANIA: A TASTE OF TANZANIAN PRIDE
Na Mwandishi Wetu Tanzania may not have an extensive list of beers,


KITU CHA KWANZA KWA MWANASHERIA NI KUHAKIKISHA KILA JAMBO ANALIFANYA KWA WAKATI NA UBORA”- MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amewakumbusha Mawakili wa Serikali kufanya kazi kwa haraka, kwa wakati na

TANESCO YASHINDA TENA TUZO ZA UBORA HUDUMA KWA WATEJA ZA CICM
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌Urahisi wa upatikanaji huduma kwa njia za kidigitali watajwa moja ya kigezo cha kushinda tuzo

BITEKO AVUTIWA UTEKELEZAJI WA ‘ LOCAL CONTENT’ EACOP
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt.Dotto Biteko ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya

MATEMBEZI YA GENERATION SAMIA (GEN-S) YAVUNJA REKODI MWANZA
Jiji la Mwanza limeshuhudia matembezi makubwa na ya kihistoria yaliyoandaliwa na Umoja wa Makundi Mbalimbali chini ya mwavuli wa Generation Samia (GEN-S) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA). Matembezi haya yalifanyika

RC CHALAMILA AFANYA ZIARA KIWANDA CHA NAMELA TEXTILE LIMITED
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Novemba 12, 2024 amefanya ziara ya kushitukiza kiwanda cha nguo na mavazi cha Namela Textile Limited kilichopo Gongolamboto Jijini Dar es
SERIKALI KUGHARAMIA MATIBABU KWA MAJERUHI NA MAZISHI YA WANAFUNZI WA AJALI – BAHI
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema Serikali itagharamia mazishi ya Wanafunzi wawili (2) wa shule ya sekondari Mpalanga Wilayani Bahi waliofariki katika ajali ya gari iliyotokea jana majira ya saa 5:00 asubuhi katika Kijiji cha Chidilo Wilayani humo. Aidha, Mhe. Senyamule ameahidi kuwa, Serikali itagharamia matibabu ya wanafunzi

MALALAMIKO YA WANANCHI MSIMBATI YAPELEKEA DKT BITEKO KUMUONDOA MENEJA MAWASILIANO TPDC
Aagiza Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja Tanesco kuondolewa Asisitiza miradi ya mafuta ya Gesi Asilia kubadilisha maisha ya wananchi Msimbati – Mtwara Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza kuondolewa kwa

INEC YAWATAKA WATENDAJI WA UBORESHAJI KUTUNZA VIFAA
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA KIGOMA Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetaka watendaji wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Mkoani Kigoma kuhakikisha wanatunza vifaa vya uandikishaji ili vikaweze kutumika maeneo mengine

UWT YAZINDUA KUNDI LA SAMIA QUEENS LINALOHUSISHA WASANII WANAWAKE NCHINI
Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mary Chatanda , kupitia Katibu Mkuu Ndugu. Jokate Mwegelo amezindua kundi la SAMIA QUEENS ambalo


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
